Ununuzi wa pembe hizo ulifanya bei
yake kupanda maradufu na kufikia dola za kimarekani 700 kwa kilo moja.
Wanadiplomasia wa China,
maafisa wa kijeshi na wafanya biashara wa China
siku za nyuma walitumia ziara kama hizo kununua shehena kubwa ya pembe za ndovu
Tanzania
Ripoti mpya iliyotolewa Alhamis inaeleza kwamba ujumbe wa rais wa China
Xi Jinping ulinunua maelfu ya kilo za pembe haramu za ndovu katika ziara yao mwaka 2013 nchini Tanzania.Shtuma hizo zilitolewa katika ripoti ya taasisi inayofuatilia maswala ya Mazingira “Environmental