COSATU imchukua hatua hiyo baada ya NUMSA kulalamika dhidi ya Rais Jacob Zuma, na kukataa kuunga mkono chama tawala cha ANC katika uchaguzi wa awali mwaka huu.
NUMSA ilimshutumu Rais Zuma kwamba haungi mkono tena masilahi ya wafanyakazi na kusema kuwa itaanzisha vuguvugu jipya la kishosalisti.
Kiongozi wa NUMSA, Irvin Jim, alisema kuwa COSATU - ambayo zamani ikiwatikisa mabosi wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi - sasa imepooza.
COSATU imchukua hatua hiyo baada ya NUMSA kulalamika dhidi ya Rais Jacob Zuma, na kukataa kuunga mkono chama tawala cha ANC katika uchaguzi wa awali mwaka huu.
NUMSA ilimshutumu Rais Zuma kwamba haungi mkono tena masilahi ya wafanyakazi na kusema kuwa itaanzisha vuguvugu jipya la kishosalisti.
Kiongozi wa NUMSA, Irvin Jim, alisema kuwa COSATU - ambayo zamani ikiwatikisa mabosi wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi - sasa imepooza.
No comments:
Post a Comment