Mwanariadha huyo wa Afrika Kusini asiye na miguu yote miwili alimpiga risasi na kumwuua rafiki yake wa kike Reeva Steenkamp mnamo Februari 14, 2013; bingwa huyo wa mashindano ya Olimpiki anadai kuwa alidhani anamwuua mtu mhalifu aliyevamia nyumba yake.

Mwanasheria
wa Marekani na mchambuzi wa mambo ya kisiasa Alan Dershowitz. Picha
imetolewa kwa haki miliki ya Creative Commons na mtumiaji wa Flickr
aitwaye The Huntington.
Mtazame Dershowitz akitoa matamshi hayo hapa chini:
Muda mfupi baadae, wataalamu wa Uchumi nchini Afrika Kusini walijitokeza kukanusha matamashi hayo, wakisema kuwa nchi ya Afrika Kusini haina vigezo vyovyote vya kuitwa “taifa lililokwama kiuchumi” kama vile ghasia zilizoenea za wenyewe kwa wenyewe, kutokufanya kazi kwa asasi za kiraia, kutokuwepo kwa mhimili wa mahakama unaojitegemea na kutokuwepo kwa ulinzi wa mali za watu.
Waafrika Kusini waliingia kwneye mtandao wa Twita kuonyesha hasira zao na kukana kabisa madai hayo
No comments:
Post a Comment