Sunday, 14 September 2014

Mwanariadha Oscar Pistorius Apatikana Na Hatia Ya Kumuua Mpenzi wake Bila Kukusudia.



JajiThokozile Masipaal anayeendasha kesi ya Oscar amesema mwanariadha huyu alimmuampenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya na upande wa mshtaka umeshindwa kuthibitisha Oscar alikusudia kuua.
Oscar amepatikana na kosa la kutumia silaha yake visivyo kwenye mgahawa fulani mjini Johannesburg. Sababu atahukumiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia atakaa jela kwa muda mfupi zaidi na sheria za Afrika Kusini wanasema sio zaidi ya miaka 15

No comments:

Post a Comment