Sunday, 14 September 2014

Burundi: Pierre Nkurunziza awonya baadhi ya wanasiasa



Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.
REUTERS/Stringer

Na kennedyrutta
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, jumanne wiki hii,
ametimiza miaka 4 tangu achaguliwe kuiongoza Burundi kwa muhula wa pili. Katika hotuba yake kwa taifa, Pierre Nkurunziza, amewataka wananchi kujiandaa kwa uchaguzi ujao na kuwatahadharisha wale wanaokusudia kupotosha uchaguzi huo.

No comments:

Post a Comment