i vizuri.
Ebola huhesabiwa moja kati ya magonjwa ya mlipuko. Wagonjwa wa Ebola hutengenishwa na wagonjwa wengine ili wasipate kuambukizwa. Hii ina-maana kwamba ugiligili na damu wasije watu wengine wakagusa. Basi watu wengine hawawezi kupata virusi hivi kwa sababu tayari hatua ya kuwatenganisha ishapita.
Pale mlipuko unapotokea, watu wengi huja na kujaribu kusaidia kuzuia. Shirika la Afya Duniani ni moja kati ya kundi muhimu sana kwa jitahada zake za kujaribu kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
No comments:
Post a Comment