Hamjambo na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya
makala ya Uislamu na Mtindo wa Maisha. Makala yetu leo inaendelea
kuzungumzia misingi ya jinsi ya kuamiliana na watoto kwa mujibu wa
mtindo wa maisha wa Kiislamu.
Wataalamu wa elimu nafsi wanasema kuwa, moja kati ya mahitaji muhimu ya mwanadamu baada ya mahitaji ya kimsingi ya kiumbe huyo kama maji na chakula, ni haja ya kupendwa. Kupendwa kuna umuhimu mkubwa sana kwa kadiri kwamba iwapo haja hiyo haitakidhiwa, basi suala hilo linaweza kuwa na taathira mbaya katika maisha ya mwanadamu. Haja ya kupendwa huwa kubwa zaidi katika nafsi ya mtoto na kukidhiwa kwake kwa njia sahihi ni nguzo na msingi muhimu wa malezi bora. Kumpenda mtoto humzidishia utulivu wa kiroho na kinafsi, hali ya kujiamini na kuwategemea na kuwaamini zaidi wazazi wake.Jumatano, 24 Disemba 2014 07:10 Uislamu na Mtindo wa Maisha(48) ukubwa wa hati ukubwa wa hati kuzisha hati Kichapishi Add new comment Uislamu na Mtindo wa Maisha(48) Hamjambo na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya makala ya Uislamu na Mtindo wa Maisha. Makala yetu leoi
Wataalamu wa elimu nafsi wanasema kuwa, moja kati ya mahitaji muhimu ya mwanadamu baada ya mahitaji ya kimsingi ya kiumbe huyo kama maji na chakula, ni haja ya kupendwa. Kupendwa kuna umuhimu mkubwa sana kwa kadiri kwamba iwapo haja hiyo haitakidhiwa, basi suala hilo linaweza kuwa na taathira mbaya katika maisha ya mwanadamu. Haja ya kupendwa huwa kubwa zaidi katika nafsi ya mtoto na kukidhiwa kwake kwa njia sahihi ni nguzo na msingi muhimu wa malezi bora. Kumpenda mtoto humzidishia utulivu wa kiroho na kinafsi, hali ya kujiamini na kuwategemea na kuwaamini zaidi wazazi wake.Jumatano, 24 Disemba 2014 07:10 Uislamu na Mtindo wa Maisha(48) ukubwa wa hati ukubwa wa hati kuzisha hati Kichapishi Add new comment Uislamu na Mtindo wa Maisha(48) Hamjambo na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya makala ya Uislamu na Mtindo wa Maisha. Makala yetu leoi